Posts

ĎKT. NDUMBARO AZITAKA NCHI ZA AFRIKA KUWA NA KAULI MOJA KUHUSU UWINDAJI WA KITALII

Image
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro (kuli) akizungumza na  Waziri wa Utalii wa Zimbabwe kuhusiana na kuwa na bei ya pamoja ya uwindaji wa kitalii katika nchi wanachama wa SADC katika kikao pembeni katika  Mkutano wa  Kimataifa wa  64 wa Utalii Kanda ya Afrika  ulioandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii (UNWTO) unaoendelea  kufanyika katika kisiwa cha SAL  nchini Cape Verde, Mkutano huo umewakutanisha Mawaziri wa Utalii 30 lengo likiwa ni kujadili mustakabali wa utalii Barani Afrika na Duniani kwa ujumla.

WATENDAJI UYUI WAAGIZWA KUFIKISHA ASILIMIA 100 YA MAPATO YA NDANI IFIKAPO DESEMBA

Image
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui wakiimba wimbo wa Taifa kabla Baraza lao halijaanza Septemba 6, 2021.

MADIWANI UYUI WAMWAGIZA DED KUONDOA WAVAMIZI WA MISTU YA HIFADHI

Image
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui     Said Ntahondi akifungua kikao cha robo ya nne cha Baraza la Madiwani Septemba 6, 2021.

MWANZA WAIPONGEZA SERIKALI MIRADI YA UMEME VIJIJINI

Image
  Kazi ya kusambaza umeme vijijini ikiendelea katika Kitongoji cha Mwahuli, Kata ya Isangijo Kisesa, wilayani Magu, Mkoa wa Mwanza. Taswira hii ilichukuliwa wakati wa ziara ya Bodi ya Nishati Vijijini kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme, Septemba 6, 2021.

BODI YA NISHATI VIJIJINI YAKAGUA MRADI WA UJAZILIZI MWANZA

Image
  Mtoto Salma Seleman anayeishi Kishiri wilayani Nyamagana, Mkoa wa Mwanza akimwelezea Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) Wakili Julius Kalolo (kulia) na Ujumbe wake, hali ya upatikanaji umeme katika eneo hilo. Bodi ilikuwa katika ziara kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme, Septemba 6, 2021.  

MAOFISA UGANI WATAKIWA KUWA NA SHAMBA LA MFANO LA ALIZETI KWA AJILI YA KUFUNDISHIA WAKULIMA

Image
  SERIKALI imewaagiza Maafisa Ugani wa Kata na Kijiji kuwa na shamba la mfano la alizeti ili kuwafundisha kwa vitendo wakulima na kuongeza uzalishaji wa zao hilo nchini.